Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JIWE Laporomoka jijini Mwanza na kuua Watu Wanne.....Laponda nyumba 2 Usiku wa Manane... Lafunika mume, mke, mtoto aponea chupuchupu

$
0
0
Vilio na simanzi jana vilitawala kwa wakazi wa maeneo ya Sinai-Mabatini, baada ya vifo vya watu wanne wa familia mbili tofauti, vilivyotokana na mvua iliyosababisha miamba mikubwa ya mawe kuporomoka na kuponda nyumba zao usiku wa manane.  Tukio hilo la kusikitisha limeripotiwa kutokea saa nane usiku kuamkia jana, wakati mvua   iliyoambatana na upepo wa wastani ilipokuwa ikiendelea

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>