Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dereva wa Basi la UDA Apewa Kibano kizito na Trafiki Baada ya kuleta Ubabe wakati alipotakiwa kutii sheria bila shuruti.

$
0
0
Devera wa Basi la Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA) ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja, amejikuta akipewa kibanokizito  na askari wa usalama barabarani ‘trafiki’ baada ya kuleta ubabe wakati alipotakiwa kutii sheria bila shuruti. Tukio hilo la aina yake lililosababisha usumbufu kwa abiria wa basi hilo, lilitokea juzi Bamaga-Mwenge jijini Dar kufuatia dereva huyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>