Msanii wa muziki na filamu H.Baba ambaye yupo ndani ya ndoa na msanii
mwenzake Flora Mvungi ametoa maoni yake kwa kile kinachooendelea kati ya
pande mbili za kishabiki za Diamond na mpenzi wake Wema.
Kupitia ukurasa Instagram, H.Baba amesema:
Tanzaniteone uyo anawaambia sina chakusema kuhusu baba yangu na
mama yangu ila baba analolakuwaambia Wema na Naseeb. Wema kapewa lawama
nyingi
↧