Wananchi wenye hasira, wameteketeza kwa moto nyumba ya mkazi wa
Kijiji cha Mwika Uuwo, Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro,
wakimtuhumu kulawiti wanaume wenzake.
Hasira za wananchi hao zilifikia kiwango
kisichohimilika baada ya mtuhumiwa huyo mwenye umri wa miaka 42, kudaiwa
kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12 kijijini hapo juzi.
Wananchi wa kijiji hicho
↧