Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Nyumba ya Mwanaume aliyekuwa AKIWALAWITI Watoto wa Kiume huko Moshi yateketezwa kwa moto na wananchi wenye hasira kali

$
0
0
Wananchi wenye hasira, wameteketeza kwa moto nyumba ya mkazi wa Kijiji cha Mwika Uuwo, Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, wakimtuhumu kulawiti wanaume  wenzake.    Hasira za wananchi hao zilifikia kiwango kisichohimilika baada ya mtuhumiwa huyo mwenye umri wa miaka 42, kudaiwa kumlawiti mtoto wa  kiume mwenye umri wa miaka 12 kijijini hapo juzi.   Wananchi wa kijiji hicho

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>