Kweli dunia ina mambo! Kuna watu wanajaribu kutumia kila fursa
inayopatikana kujinufaisha kwa kupata fedha hata ziwe ‘chafu’, kwao kitu
cha maana ni kupata utajiri kwanza.
Kundi la watu wanaofanya biashara ya kusafirisha
watu, wamekuwa wakitumia fursa ya ukosefu wa ajira kama chambo cha
kuwanasa vijana na kuwaingiza kwenye biashara haramu kama ukahaba.
Hivi karibu kundi hilo
↧