Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema kitawachukulia hatua
kali wabunge wake iliyowaita kuwa ni wasaliti kwa kupuuza maagizo ya
chama na kwenda kuhudhuria vikao vya Bunge Maalumu la Katiba
vinavyoendelea mjini Dodoma.
Mkuu
wa kurugenzi ya sheria ya CHADEMA na msemaji wa kambi rasmi ya upinzani
Bungeni Tundu Lissu amesema hayo leo jijini Dar es Salaam muda mfupi
baada
↧