JESHI la Wananchi Tanzania (JWTZ) limeendelea kung’ara kimataifa, ambapo jana jeshi hilo lilitamkwa kuwa miongoni mwa majeshi ya nchi za Afrika, yatakayounda Jeshi la Kulinda Amani Afrika.
Taarifa za ndani kutoka Mkutano wa Kimataifa wa Wakuu wa Nchi na Serikali zaidi ya 50 za Afrika na Marekani, ambao umehudhuriwa pia na Rais Jakaya Kikwete, zimeeleza kuwa moja ya kazi za jeshi hilo,
↧