Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mabomu Yarindima Msibani.....Jeneza Latelekezwa, Sugu awatupia Lawama Polisi

$
0
0
Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amelishutumu Jeshi la Polisi mkoani humo kuwa ndiyo chanzo cha vurugu baada ya juzi kutumia mabomu ya machozi kuwazuia wafuasi wa Chadema na waombolezaji kuubeba mikononi mwili wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Itiji,  Ezekiel  King kwa lengo la kutembea nao kwa miguu kutoka Hospitali ya Rufaa Mbeya hadi nyumbani kwake Itiji kuuzika.   

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>