Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sherehe za Nane Nane kitaifa zinafanyika mkoani Lindi leo

$
0
0
Tanzania leo inaadhimisha kilele cha maonyesho ya wakulima na wafugaji nane nane ambapo kitaifa yanafanyika mkoani Lindi. Maonyesho hayo ambayo mwaka huu yamegawanywa kikanda kwa bidhaa tofauti ikiwa Nyanda za juu kusini yatafanyika jijini Mbeya ambapo yatakua maalumu kwa kilimo wakati Kanda ya kaskazini yatafanyika Dodoma ambapo itakua maalumu kwa mifugo na Lindi ndipo yatapofanyika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>