Siku mbili zilizopita kumekuwa na taarifa mitaani kuwa mwimbaji
ambaye pia ni producer wa Sharobaro Records, Bob Junior alifanyiwa fujo
na mwanaume mmoja anaedaiwa kuwa mume wa msichana aliyekuwa anafanya
naye video.
Taarifa hizo zilieleza kuwa tukio hilo lilifanyika maeneo ya Mlimani
City wakati Bob Junior alipokuwa akishuti vipande vya wimbo wake wa
‘Bolingo’ huku msichana huyo
↧