Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM yawalalamikia Jaji Warioba na wajumbe wa tume yake kuhusu kauli zao kwa rais Kikwete

$
0
0
Chama cha Mapinduzi -CCM kimedai kuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba Jaji Joseph  Warioba na baadhi ya wajumbe wa tume yake wamemshambulia kwa maneno Mwenyekiti wa chama hicho rais  Jakaya  Kikwete   Hatua hiyo imefikiwa kutokana na Mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya mwalimu Nyerere ambao umefanyika Jumatatu wiki hii na kwamba kupitia mdahalo huo Jaji Warioba na wajumbe wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>