Idara
ya uhamiaji mkoani Kigoma, imewakamata raia 26 wa Burundi na wawili
kutoka kongo DRC na Rwanda, baada ya kuingia na kuishi nchini kinyume
cha sheria .
Idara hiyo pia imewarejesha raia 11 wa burundi waliomaliza kifungo
baada ya kuhukumiwa mwaka mmoja uliopita kwa makosa ya kuingia nchini
bila vibali.
Afisa uhamiaji mkoa wa kigoma Ambrose Mwanguku amesema raia hao ambao
↧