Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MUKOBA achaguliwa kuwa Rais Mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi ( TUCTA)

$
0
0
Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), umemchagua Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian Mukoba, kuwa Rais wa shirikisho hilo katika uchaguzi uliokwenda raundi mbili, baada ya raundi ya kwanza kukosa mshindi.   Katika raundi ya kwanza, kura zao zilishindwa kutimia baada ya kila mgombea kwenda chini ya nusu ya idadi ya wajumbe wa mkutano huo mkuu wa Tucta.   Katika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>