Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Zaidi ya nyumba 300 zavunjwa Kawe, jijini Dar es Salaam......Wananchi Walaani kitendo hicho

$
0
0
Zaidi ya kaya 300 zenye wakazi zaidi ya 100 za Kawe Tanganyika Pecus jijini Dar es salaam hazina makazi baada ya kuvamiwa na kundi la watu waliotumwa na shirika la nyumba la taifa kuvunja nyumba zao bila taarifa zozote za kuwataka kuhama makazi hayo.   Wakazi hao wamelaani kitendo hicho na kuiomba serikali kuingilia kati zoezi linaloendelea la kuvunjwa kwa nyumba hizo ili kuwapa muda

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>