Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vilio na machozi vyawatawala wachezaji wa Taifa Stars baada ya kufungwa, matumaini ya AFCON 2015 yapotea rasmi

$
0
0
Mchezaji wa Taifa Stars, Shomari Kapombe akilia kwa uchungu baada ya Stars kupoteza nafasi ya kucheza hatua ya makundi kuwania nafasi ya kucheza Kombe la Afrika 2015. ************* Timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars jana iliondolewa rasmi kwenye michuano ya kuwania kufuzu kucheza kombe la mataifa ya Afrika mwaka 2015 kwa kufungwa mabao 2-1 na Msumbiji aka The Mambas.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>