Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Karume amfuata shemeji yake mahabusu....Ni Mansour Yussuf Himid aliyekamatwa juzi kwa tuhuma za kukutwa na silaha

$
0
0
Waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Mansour Yusuph Himid akiwa  Makao Makuu ya Polisi Zanzibar juzi, baada ya kukamatwa nyumbani kwake, Chukwani kwa tuhuma za kumiliki silaha kinyume na sheria.  *********  RAIS mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, jana alifika katika Kituo Kikuu cha Polisi Mwembe Madema mjini Zanzibar, kumtembelea shemeji yake, Mansour Yussuf

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>