Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mashoga na Wasagaji kutoka Kenya, Uganda wakutana jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Kivukoni 3 ulioko katika Hoteli ya Serena

$
0
0
MASHOGA kutoka nchi tatu za Afrika Mashariki wamekutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam.   Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam, zinasema mashoga hao walikutana juzi katika Ukumbi wa Kivukoni 3 ulioko katika Hoteli ya Serena na kuwashirikisha wasichana wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile.   Kwa mujibu wa taarifa hizo, mashoga hao wapatao 50 walitoka katika nchi za Kenya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>