Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Shekhe Mkuu atangaza Swala ya Idd Kitaifa

$
0
0
Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ametangaza Swala ya Sikukuu ya Idd El Fitri inayotarajiwa kufanyika kitaifa katika mkoa wake.   Akizungumza na waandishi wa habari kwenye kikao maalumu katika Ofisi za  Mkoa wa Dar es Salaam za Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) hii leo, Shekhe Alhad alisema kuwa swala hiyo sambamba na hotuba mbalimbali inatarajiwa kufanyika saa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles