Jeshi
la Polisi Tanzania linapenda kutoa shukrani za dhati kwa wananchi wote,
vyama vya siasa, taasisi mbalimbali za serikali, madhehebu ya dini,
asasi za kiraia na vyombo vya habari kwa ushirikiano wa dhati katika
kusimamia masuala ya amani na usalama hapa nchini.
Tunapoelekea
kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi
linatoa wito kwa wananchi wote kuwa
↧