Watafiti katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba cha Temple,
Marekani wamegundua dawa ya kuangamiza Virusi Vya Ukimwi (VVU) ambayo ni
ya uhakika zaidi ukilinganisha na zilizowahi kupatikana katika tafiti
za awali duniani.
Dawa yao inaweza kutumika kwa tiba ya wanaoishi na VVU na kinga kwa wale ambao bado hawajaambukizwa.
Mmoja wa watafiti hao, Dk Kamel Khalili aliwaambia
waandishi
↧