Mwigizaji nguli katika
tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel (pichani) anadaiwa kuanza kusaka
mtoto ikiwa ni miaka miwili tangu afunge ndoa na Sunday Dimonte.
Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Aunt, siku si nyingi staa huyo
atakwenda kuweka makazi ya muda kwa mumewe Dubai hadi atakapopata
ujauzito.
Akizungumza na Amani hivi karibuni, rafiki huyo ambaye aliomba jina
lake
↧