KESI ya ubakaji inayomkabili mume wa Flora Mbasha ambae ni mwimbaji
maarufu wa nyimbo za injili Tanzania Emmanuel Mbasha (32), ilitajwa tena
July 23 2014 katika mahakama ya wilaya ya Ilala ambapo Mbasha amesomewa
tena mashataka yake huku akikubali sentensi mbili tu kati ya nne
zilizosomwa.
Akisoma hoja hizo mbele ya hakimu Wilbert Luago, mwendesha mashtaka
wa serikali Nasoro Katunga
↧