WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Erikisongo wilayani Monduli
wamenusurika kifo baada ya vyumba vitano vya mabweni yao kuteketea na
moto leo asubuhi.
Â
Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ulizuka
wakati wanafunzi hao wakiwa darasani. Hakuna mtu yoyote aliyedhurika
lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea.
Â
Kikosi cha Zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati
↧