Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mabweni ya Shule yateketea kwa Moto Monduli

$
0
0
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Erikisongo wilayani Monduli wamenusurika kifo baada ya vyumba vitano vya mabweni yao kuteketea na moto leo asubuhi.   Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ulizuka wakati wanafunzi hao wakiwa darasani. Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea.   Kikosi cha Zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>