Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wakuu wa shule za serikali zilizofanya vibaya katika matokeo ya Form Six wapewa mwezi mmoja kujieleza.....Miongoni mwa shule hizo ni Tambaza na Iyunga

$
0
0
Wakuu wa shule za serikali zilizofanya vibaya kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu  pamoja na Maofisa elimu wa Mikoa wamepewa muda wa mwezi mmoja ili kubaini chanzo cha  shule zao kuwa na ufaulu hafifu.   Baada ya kubaini chanzo hicho cha ufaulu hafifu wanatakiwa kutoa taarifa kwa katibu mkuu Tawala za mikoa na serikali za mitaa-TAMISEMI.   Miongoni mwa shule

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>