Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Nyumba Nne zachomwa moto kwa tuhuma za Ushirikina

$
0
0
Wakazi wa kijiji cha Nguruka wilayani Uvinza mkoani Kigoma, wamechoma nyumba nne za familia moja yenye zaidi ya watu ishirini na kuteketeza vyakula na mali nyingine zenye zaidi ya shilingi milioni mia moja baada ya kumtuhumu mmoja wa wanafamilia kwa ushirikina.   Mwenyekiti wa kitongoji cha mkoronga katika kijiji cha nguruka Matei Charles ambaye alimuokoa mtuhumiwa wa uchawi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles