Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga
Wingu zito limegubika kifo cha mke wa askari polisi wa wilayani
Mwanga, Kilimanjaro aliyefia chumbani kwa dereva wa bodaboda.
Uchunguzi
wa awali wa polisi unadai kuwa mwanamke huyo alilala chumbani huko usiku
mzima wa kuamkia Jumapili, siku ambayo maiti yake iligunduliwa saa 12
jioni.
Uchunguzi huo pia unadai kuwa mtuhumiwa ndiye
↧