Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

UNYAMA: Bibi Kizee Auawa kikatili kwa Kucharangwa Mapanga huko Shinyanga

$
0
0
Na Kadama Malunde-Shinyanga Mwanamke mmoja aitwaye Milembe Masanja(50) mkazi wa kitongoji cha Muhida kijiji na kata ya Busangi wilayani Kahama mkoani Shinyanga ameuawa kikatili kwa kucharangwa mapanga kichwani  na   kukatwa mikono yote miwili na watu wawili waliokodishwa na familia moja kutekeleza mauaji hayo. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo na kamanda wa polisi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>