Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiungana na viongozi wa madhehebu mbalimbali wa
dini ya Kiislamu katika futari aliyowaandalia ikulu jijini Dar es
salaam.
Kadhi
Mkuu wa Tanzania Sheikh Abdullah Yusuf bin Ali bin Yusuf ash-Shirazi
Mnyasi (mwenye kipaza sauti) akiongoza dua katika futari aliyoandaa Rais
Jakaya Mrisho Kikwete kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya
Kiislamu Ikulu
↧