Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Njaa Yamliza Baby Madaha......Akesha akiomba mwezi mtufuku wa Ramadhani Uishe haraka

$
0
0
Staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amesema kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umembana kiuchumi kwani kumbi nyingi za starehe zimefungwa kwa hiyo anashindwa kupata pesa.   Akiongea  na  mwandishi wetu, Baby Madaha alisema kwa upande wake michongo yake mingi ya hela anaipata kupitia kumbi za starehe hivyo kwa sasa fedha haingii kabisa.   “Naomba Mwezi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>