Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke aliyeiba Mtoto huko Sumbawanga ili kulinda Ndoa Yake Ahukumiwa Mwaka mmoja Jela

$
0
0
Mkazi wa kijiji cha Kisumba, Manispaa  ya Sumbawanga, Halima Nambeya (18)  ametupwa jela mwaka mmoja na Mahakama ya wilaya ya Sumbawanga baada ya kukiri kosa la kuiba mtoto mchanga  wa kiume  kwa lengo la  kulinda ndoa yake  ili  asiachike  kwa kukosa mtoto.   Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Frednand Rwegasira  alisema mtuhumiwa huyo alimuiba mtoto  huyo  katika eneo la Jangwani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>