Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wakili wa Serikali anayekabiliwa na kesi ya kumjeruhi Hausigeli aendelea kusota Rumande

$
0
0
Wakili  wa Serikali, Yasinta Rwechungula (44)  Mkazi wa Boko njia panda, anayekabiliwa na kesi ya kumpiga na kumjeruhi mfanyakazi wake wa ndani ameendelea kusota rumande kutokana na kutotimiza masharti ya dhamana.   Hakimu wa Mahakama ya Mkazi Kinondoni,  Amaria Mushi, alimtaka kuwa na wadhamini wawili kutoka taasisi inayotambulika watakaosaini hati ya dhamana ya Sh milioni nne.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>