Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini aahidi kuwakamata walipuaji mabomu Arusha

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu amesema jeshi hilo lina uhakika wa kuwapata watuhumiwa wa mabomu mkoani Arusha na kwingineko nchini, pamoja na kudhibiti matukio hayo baada ya kukamilika kwa uchunguzi wa taarifa walizopata.   Mangu alisema hayo jana wakati wa mkutano baina yake na Mkuu wa Jeshi la Polisi la Namibia, Luteni Jenerali Sebastian Ndeitunga ambaye ni Mwenyekiti

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>