Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Milipuko ya Mabomu jijini Arusha yaiweka Pabaya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa huo

$
0
0
Kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa wa Arusha (RCC) kimetaka  polisi na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa, kuacha kutoa matamko ya haraka,   badala yake wachunguze kubaini chanzo cha milipuko ya mabomu jijini Arusha.   Miongoni mwa wajumbe wa kikao hicho ni Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema aliyesema matukio hayo si ya siasa, bali  yanayodhuru jamii, hivyo ni vyema polisi wanapopewa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles