Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Agosti 11 mwaka huu inatarajia kuhamia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kusikiliza utetezi wa kada wa CCM, Rajab Maranda anayekabiliwa na kesi ya wizi wa Sh milioni 207 za Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Maranda na wenzake wanadaiwa kuiba fedha hizo kutoka Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) kupitia BoT.
Jopo la mahakimu watatu, lilitoa
↧