Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vijana wawili wauawa na Wananchi wenye hasira kali baada ya kumuua mama yao wa kambo kwa kumcharanga Mapanga

$
0
0
Vijana wawili wameuawa kwa kushambuliwa na wananchi wenye hasira mkoani Geita kwa kile kilichotajwa kuwa vijana hao walimuua mama yao wa kambo kwa kumcharanga mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake. Akizungumzia tukio hilo kaimu Afisa mtendaji wa kata ya Busanda alisema tukio hilo lilitokea juzi katika kijiji cha Nyamtundu majira ya saa tatu usiku ambapo Mama moja aliyejulikana kwa jina

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>