Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya
sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa
(Ruaha University College - RUCO), amefariki dunia baada ya kushambuliwa
kisha kuchomwa moto na wananchi wenye hasira akidhaniwa kuwa mwizi.
Tukio hilo lilitokea Juni 24, 2014, majira ya saa 5 usiku ambapo
inadaiwa kuwa Daniel alikuwa ametoka
↧