Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mahabusu kuvua nguo Mahakamani.....Ushirikina watajwa, yadaiwa huenda hufanya hivyo kutimiza masharti ya waganga

$
0
0
USHIRIKINA umetajwa kwa mahabusu wa Gereza la Wilaya ya Geita waliovua nguo mbele ya Mahakama ya Mwanzo ya Nyankumbu mkoani hapa wakimshinikiza Mkuu wa Mkoa wa Geita (Said Magalula), Jaji Mkuu (Mohammed Chande Othman) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (Stephen Werema) kusikiliza madai yao ya msingi.   Tukio hilo lilijiri Juni 26, mwaka huu saa 3:00 asubuhi ikiwa ni muda mfupi baada ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>