Daktari wa meno aliyejulikana kwa jina la Dokta Ngariba (54),
amejikuta ndani ya janga la tuhuma za ngono baada ya wapiga picha za Udaku kunasa sakata lake na mwanamke aliyedai ni
mgonjwa wa jino aliyejitambulisha kwa jina moja la Hamida (20).
Tukio hilo la kushangaza lilijiri Juni 9, mwaka huu ndani ya Kituo
cha Afya cha Halmashauri ya Wilaya ya Temeke kilichopo Kigamboni jijini
Dar
↧