Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Daktari na Mgonjwa wa Meno wafumaniwa wakijiandaa kufanya Mapenzi ndani ya Hospitali moja Temeke jijini Dar ....Mgonjwa alikuwa ameshavua nguo, Alijihimu kung'olewa Jino

$
0
0
Daktari wa meno aliyejulikana kwa jina la Dokta Ngariba (54), amejikuta ndani ya janga la tuhuma za ngono baada ya wapiga picha za Udaku kunasa sakata lake na mwanamke aliyedai ni mgonjwa wa jino aliyejitambulisha kwa jina moja la Hamida (20).   Tukio hilo la kushangaza lilijiri Juni 9, mwaka huu ndani ya Kituo cha Afya cha Halmashauri ya Wilaya ya Temeke kilichopo Kigamboni jijini Dar

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>