Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke Auawa kikatili na mpenzi wake kisa Wivu wa Mapenzi

$
0
0
Mkazi wa Mtaa  wa Majengo ‘B’ mjini Mpanda, Cesilia Clement (22) ameuawa kikatili  kwa  kuchomwa kisu mwilini na mpenzi wake, aliyemtuhumu kutomjali  baada ya kuwa na  mahusiano  ya kimapenzi  na mwanamume mwingine.   Mtuhumiwa aliyefahamika kwa jina moja la Kanu, ambaye ni mkazi wa Kigoma naye amejijeruhi vibaya kwa kujikata koromeo, alipojaribu kujichinja  baada ya kubaini  kuwa  amemuua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>