Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Batuli: Sijawahi kula hela ya mume wa mtu na kamwe siwezi kuugeuza mwili wangu kuwa mtaji

$
0
0
Staa  wa  kike  anayefanya  vizuri  katika  tasnia  ya  fillamu Yobnesh Yusuph ‘Batuli’   amefunguka  na  kudai  kuwa  hajawahi  kula  hela  ya  mume  wa  mtu  na  kama  watu  wanamhisi  hivyo  basi  watakuwa  wanakosea  sana..... Batuli  alitoa  kauli  hiyo  ili  kuwathibitishia  mashabiki  wake  juu  ya  kauli  mbovu  za  watu  kuwa  urembo  wake  unategemea  mtaji  wa  mwili  wake 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>