Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tunaomba Radhi kwa Picha: Kikongwe auawa kinyama kwa kukatwa Shoka kichwani huko Kahama

$
0
0
Bibi mmoja Mkazi wa mtaa wa Nyahanga, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Rebeka Sengasenga (82), ameuawa kwa kukatwa na Shoka kichwani kwa kile kinachohisiwa kuwa ni imani za Kishirikina. Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo limetokea  jana asubuhi katika Mtaa wa Nyahanga, wilayani humo, ambapo Marehemu Rebeka alienda nyumbani kwa mtoto wake Bundala Sengasenga alikokuwa ameitwa na mke wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>