Msanii wa filamu za vichekesho, Kitale, ambae kwa sasa anatambulika
zaidi kwa jina la ‘Mkude Simba’ amekanusha kuwa hajawai kuwa na
mahusiano ya kimapenzi na Vj Penny ambae aliwai kuwa mpenzi wa zamani
wa Diamond.
Kitale akizungumza Global TV hivi karibuni ,amekanusha uvumi huo,
ambao uliambatana na picha zinazo muonyesha Penny akimbusu
Kitale.
“Penny mimi sina
↧