Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

AJIRA: Haya ni Majina ya Walimu Wapya ( na vituo vya kazi ) waliohitimu vyuo vya Ualimu mwaka 2013 ambao hawakubahatika kupangiwa hapo awali

$
0
0
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imewapangia vituo vya kazi ya ualimu walimu waliohitimu Vyuo vya Ualimu Mwaka 2013 kuchukua nafasi za walimu ambao hawakuripoti katika vituo walivyopangiwa kwa ajira ya Machi 2014.   Baadhi ya waombaji hawakupangiwa vituo vya kazi kutokana na kutokuwa na sifa zinazostahili kuajiriwa katika utumishi wa umma kwa mfano:- umri na maombi kutoambatanishwa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>