Kuna kila dalili kwamba mwimbaji maarufu wa muziki wa Injili
nchini, Flora Mbasha na mumewe Emmanuel Mbasha wanatamani kurudiana,
baada ya kuwapo mgogoro katika uhusiano wao wa ndoa, ulioingia katika
vyombo vya habari yapata mwezi mmoja sasa.
Kwa nyakati tofauti jana, kila mmoja wao
alimwambia mwandishi wetu kwamba yupo tayari kurudiana na mwenzake,
hatua ambayo inaweza kuondoa
↧