Baada ya kutoonekana katika pozi za kimahaba kwa muda mrefu, kwa mara
ya kwanza, staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’
amenaswa ‘live’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu.
Kwa muda mrefu Wolper amekuwa makini na picha zake za kimahaba tangu
alipokuwa akitoka kimapenzi na mfanyabiashara maarufu jijini Dar,
Abdallah Mtoro ‘Dallas’.
Awali, chanzo makini
↧