Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Washitakiwa wa mtoto aliyefungiwa Ndani ya Boksi na kufariki dunia wakabiliwa na kesi ya MAUAJI......

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imewabadilishia mashtaka  washitakiwa watatu katika kesi ya marehemu, Nasra Mvungi (4) waliokuwa wanakabiliwa na makosa  ya kula njama na kufanya ukatili, sasa wanashitakiwa kwa kosa la kusababisha kifo cha  mtoto huyo.   Watuhumiwa waliofikishwa, mahakamani hapo jana ni pamoja na  baba mzazi wa Nasra, Rashid Mvungi (47), mkazi wa Lukobe  na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>