Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Amina Maige anayetuhumiwa kumng’ata na kumchoma pasi msichana wa kazi apandishwa kizimbani....Wananchi wavamia mahakama na kuanza kumzomea, Shughuli za Mahakama zasitishwa kwa muda.

$
0
0
Mahakama ya hakimu mkazi Kinondoni jijini Dar es salaam ilisitisha kwa muda shughuli zake baada ya zomeazomea iliyosababishwa na umati mkubwa wa watu waliofika mahakamani hapo kushuhudia kesi inayomkabili Amina Maige aliyeshitakiwa kwa kosa la kumjeruhi binti kwa kumng'ata na kumuunguza kwa pasi ....   Ndivyo hali ilivyokuwa katika mahakama hiyo mara baada ya mtuhumiwa huyo kufikishwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>