Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mechi ya Ufunguzi wa Kombe la Dunia: Brazili yapata ushindi wa mabao 3 dhidi ya Croatia walioambulia 1

$
0
0
Neymar akishangilia bao lake la kwanza. WACHEZAJI Neymar na Oscar wamepeleka vilio Croatia baada ya kuipa ushindi wa mabao matatu timu yao ya Brazil kwenye mechi ya ufunguzi wa Fainali za Kombe la Dunia 2014 zinazofanyika nchini Brazil.   Croatia walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 11 ambalo ni la kujifunga likiwekwa kimiani na beki Marcelo wa Brazil.   Baadaye wenyeji

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>