Neymar akishangilia bao lake la kwanza.
WACHEZAJI Neymar na Oscar wamepeleka vilio Croatia baada ya kuipa
ushindi wa mabao matatu timu yao ya Brazil kwenye mechi ya ufunguzi wa
Fainali za Kombe la Dunia 2014 zinazofanyika nchini Brazil.
Croatia walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 11 ambalo ni la kujifunga likiwekwa kimiani na beki Marcelo wa Brazil.
Baadaye wenyeji
↧