Hausigeli aitwaye Melina Mathayo mwenye umri kati ya miaka 15,
ameumizwa vibaya sehemu za kichwani na kulazwa katika Hospitali ya
Mwananyamala jijini Dar es Salaam baada ya kupigwa na bosi wake aitwaye
Yasintha Rwechungura mkazi wa Boko.
Akiongea na mwanahabari wetu akiwa katika hospitali hiyo, Melina
amesema amekuwa akipigwa na bosi wake huyo mara kwa mara kwa kutumia
waya, brenda
↧