Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Unyama Mwingine: Hausigeli ( binti wa kazi ) mwingine Ajeruhiwa vibaya na bosi wake na kulazwa Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar

$
0
0
Hausigeli aitwaye Melina Mathayo mwenye umri kati ya miaka 15, ameumizwa vibaya sehemu za kichwani na kulazwa katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam baada ya kupigwa na bosi wake aitwaye Yasintha Rwechungura mkazi wa Boko.   Akiongea na mwanahabari wetu akiwa katika hospitali hiyo, Melina amesema amekuwa akipigwa na bosi wake huyo mara kwa mara kwa kutumia waya, brenda

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>