Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Upelelezi wa kesi ya Wilfred Rwakatare na wenzake bado haujakamilika......

$
0
0
Upelelezi wa kesi ya kula njama ya kudhuru kwa sumu inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Rwakatare na mwenzake Ludovick Joseph, haujakamilika.    Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka alidai hayo jana mbele ya Hakimu Aloyce Katemana wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati kesi hiyo ilipotajwa.    Hakimu Katemana alisema kesi hiyo itatajwa tena Julai 8

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>